Cifra Club

Tenda

Deborah Lukalu

We don't have the chords for this song yet.

Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba
Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba
Hakuna mwingine kimbilio langu
Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba
Hakuna mwingine Baba wa wajane
Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba

Mungu ni shefu (shefu), Mungu ni shefu (shefu)
Mungu ni shefu (shefu), Mungu ni shefu (shefu)
Mungu ni shefu (shefu), Mungu ni shefu (shefu)
Mungu ni shefu (shefu), Mungu ni shefu (shefu)
Mungu ni shefu (shefu), Mungu ni shefu (shefu)
Mungu ni shefu (shefu), Mungu ni shefu (shefu)
Mungu ni shefu (shefu), Mungu ni shefu (shefu)

Shefu (wa mataifa yote), Shefu (wa mataifa yote)
Shefu (wa mataifa yote), Shefu (wa mataifa yote)
Shefu (wa mataifa yote), Shefu (wa mataifa yote)
Shefu (wa mataifa yote), Shefu (wa mataifa yote)
Shefu (wa mataifa yote), Shefu (wa mataifa yote)
Shefu (wa mataifa yote), Shefu (wa mataifa yote)
Shefu (wa mataifa yote), Shefu (wa mataifa yote)

Alitenda mambo makubwa
Wanadamu hawakuelewa (tenda tenda tenda)
Tenda eh Baba tenda
Tenda eh Baba tenda
(Mungu wa uzima)
Tenda eh Baba tenda
(Baba wa wajane)
Tenda eh Baba tenda
(Iyo yo yo yo oh)
Tenda tendaa

Ni wa uwezo ni wa ushindi
Ni muweza yote kweli ni muumba wetu
Watoto tunasala (tumepata kwa neema)
Masomo tunaweza (tumepata kwa neema)
Diploma uko nayo (ulipata kwa neema)
Kuimba unaimba (ulipata kwa neema)

Huyu Mungu wetu (anasema anajibu)
Ni muweza yote
Hallelujah ni Muumba wetu
Wa milele wa milele Mungu wa Baraka ni Yesu
Wa milele wa milele Mungu wa Baraka ni Yesu
Wa milele wa milele Mungu wa Baraka ni Yesu

Other videos of this song

    Tuning

    Tuner

    OK