Sitamani

Nchilima

Composed by: Nchilima
Hallelujah
Moyo wangu na imani yangu natamani mbinguni
Ata nipitapo kwenye magumu natamani mbinguni kwa baba
Hallelujah

Sitamani miji vya huku sitamani éeh
Natamani mji wa mbinguni
Sitamani miji vya huku sitamani éeh
Natamani mji wa mbinguni

Éeeeh
Nimesikia kwamba mbinguni kuna uzima éeh wa milele kila siku
Mi napenda nikafanye makao hee mbinguni ya milele
Ata nipitapo kwenye majiribu nitajitaidi mwisho wake nifike mbinguni
Mi sitamani miji vya huku mi sipendi kwasababu
Kila siku matatizo, wengeni wanaliya wengeni
Wanalalama njaa wengeni hawana kazi mimi sitamani kuishi kwenye dunia

Sitamani miji vya huku sitamani éeh
Natamani mji wa mbinguni
Sitamani miji vya huku sitamani éeh
Natamani mji wa mbinguni

Ikanave mwakudoba nindidoba kila liduva kutangadika éeh
Mala ding'ondo mala malwele, mala maganisha
Kushima vanu avanantumbwange nnungu éeh
Nindidoba kudyanga kuka napata lipuwilo
Likamalilika kila wakati kupuwanga
Hallelujah
Wimba pamo na vanjelo kuwa lipuwilo
Njini wambi lipuwilo yelusalemu óoh lipuwilo
    Page 1 / 1

    Lyrics and title
    Chords and artist

    reset settings
    OK