Pasha maji weka moto' tandika jamvi naja nyumbani
Nimekuletea zawadi, kijora cha mkopo' futa la nazi ujipare, honey
Na vijisabuni vya magadi'
Nguru usimtoe chumvi ndio ladha yake
Muunge tu' nipe na chuzi na nyama yake
Eh'
Kula ya mbuzi ni kamba yake (oh oo)
Ye king'amuzi mi dishi lake

Hook
Fungeni maturubahi (mkeshe mkisema!)
Wala hamtupi shida (mkeshe mkisema!)
Ndo kwanza tunajidai (mkeshe mkisema!)
Kama afisa wa nida
Ooh oh

Tena' daktari nimekuja na tiba sindano (leta nchomeke!)
Chunga kibinda mwali napita kwenye mabano (leta nchomeke!)
Nipo ngagari tayari kwa mapambano (leta nchomeke!)
Chai yaanguka asas leo mambo msuguano (leta nchomeke!)

Tamba
Tamba
Nakupa uwanja tamba
Tamba
Tamba
Warushe warushike roho zao
Tamba
Tamba
Wasokujua wakujue leo
Tamba
Tamba
Tamba mama lao

Nitalinda benki kwa rungu' niaminie
Taka langu mwana mvungu' nainama mie
Wavunje nazi na nyungu' wajifushie
Oh my wangu atulinde atulinde mungu' yasitufikie
Nilishakumbwa na tsunami' la mapenzi nikalia, na amani kwako sasa
Penzi si la unyang'anyi' peke yangu najilia na shiba na kusaza
Naka t. V kangu kana waka kuzima' nikupe
Naka simu kangu japo cha mchina' nikupe
Shika na moyo wangu nenda nao mazima' nikupe
Tuzaliwe makkah tufie madinah' nikupe

Fungeni maturubahi (mkeshe mkisema!)
Wala hamtupi shida (mkeshe mkisema!)
Ndo kwanza tunajidai (mkeshe mkisema!)
Kama afisa wa nida
Ooh

Tena' daktari nimekuja na tiba sindano (leta nchomeke!)
Chunga kibinda mwali napita kwenye mabano (leta nchomeke!)
Nipo ngagari tayari kwa mapambano (leta nchomeke!)
Chai yaanguka asas leo mambo msuguano (leta nchomeke!)

Tamba
Tamba
Nakupa uwanja tamba
Tamba
Tamba
Warushe warushike roho zao
Tamba
Tamba
Wasokujua wakujue leo
Tamba
Tamba
Tamba mama lao

Wasafi

Nishalinoa panga' porini kukata mua
Mwana kaza kitanda' usiku kuneng'emua
Nishalinoa panga' porini kukata mua
Mwana kaza kitanda' usiku kuneng'emua
Uu yeah yeah
Uu yeah yeah yeah
Nishalinoa panga' porini kukata mua
Mwana kaza kitanda' usiku kuneng'emua
Nishalinoa panga' porini kukata mua
Aiyo aiyo aiyo yo aiyo
La la la, la la la, la la la
La la la, la la la, la la la
Aiyo, laizer
    Page 1 / 1

    Lyrics and title
    Chords and artist

    reset settings
    OK